JE UMEPENDA MSEMO GANI KUTOKA KWA HAWA WATU MAARUFU DUNIANI? WHAT STATEMENT DID YOU PREFER MORE ABOUT THE FOLLOWING FARMOUS PEOPLE IN THE WORLD?

in #life8 years ago
  1. "kuzaliwa masikini sio kosa lako, ila kufa
    maskini ni ujinga wako" (Bill Gate)
    .
    .
    2,..Failure to plan is A plan to Fail
    (felix Bundala)
    .
    .
  2. "Heri kufa na mawazo yanayoishi, kuliko
    kuishi na Mawazo yaliyokufa" .. (Che Guevara)
    .
    .
  3. "Vita inamalizwa kwa vita na ili tuachane na
    matumizi ya bunduki inabidi itumike bunduki" . .
    (Mao ze Dong)
    .
    .
  4. "sitamani kumjua babu yangu alikuwa nani,
    ninachotaka kufahamu mjukuu wake atakuwa
    na tabia gani".. (Martin luther king)
    .
    .
  5. "Usimuulize mtu yoyote anayenijua mimi
    maana utamjua yeye kupitia mimi" . .(Joe lescot)
    .
    .
  6. "mwonekano siku zote hutengeneza
    uwezekano" . . (lucky Crackent)
    .
    .
  7. "Hatuwapendi wanawake kwa sababu ni
    wazuri, ila tunawaona wazuri kwa sababu
    tunawapenda". . (lucky crackent)
    .
    .
  8. "watu ni wengi ila binadamu ni wachache". .
    (fidel casto)
    .
    .
  9. "Usiishi kwa sababu unaishi, tafuta sababu
    ya wewe kuishi".. (Jay Ozil cazorla wilshere)
    .
    .
    11, Hakuna mkate Mgumu mbele ya Chai
    (Bob Sydou)
    .
    .
    12, Kichwa kikubwa bila Akili ni Adhabu kwa
    miguu
    (thabiti Kube)
    .
    .
    13, Uendawazimu ni cheo, Ambacho
    hauruhusiwi hata kumwongoza mtoto
    (leonard Mwendwa)

14 kumuongelea Wenger aondoke arsenal ni sawa na kujikuna pasipowasha au kujikuna kwenye kidonda(FesArsenal)
.
.
Kama hakuna hata falsafa moja uliyoikubali,
basi weka falsafa yako tuione..

Coin Marketplace

STEEM 0.19
TRX 0.13
JST 0.029
BTC 66109.31
ETH 3290.39
USDT 1.00
SBD 2.71